Msanii
Jaguar kutoka kenya ambaye hivi karibuni aliripotiwa kwenda South
Africa kwa ajili ya kufanya mkutano wa kiabishara lakini pia habari za
chini ya kapeti zinasema kuwa msanii huyo alikwenda kuwekeza kwenye
soko la mziki wa South Africa kwa kufungua Studio kali na ya kisasa
ambayo itajengwa kwenye jiji la Cape-town.Baada ya masaa kadhaa
mitandao imezinasa picha zake akionekana akiwa kanisani akifunga ndoa
na binti mrembo picha zote ziko hapa chini
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post a Comment