MSANII wa filamu Bongo, Yobnesh Yusuph ‘Batuli’ ameshangazwa na madai kuwa,
anahusika kuvunjika kwa uchumba wa msanii mwenzake Rose Ndauka na
kueleza kuwa hayo ni maneno ya watu wasiomtakia mema.
Akizungumza
na mwandishi wetu kuhusu madai hayo, Batuli alisema hajawahi kuwa na
uhusiano wowote na bwana wa Rose (Malick) na kwamba ukaribu wao ni wa
kikazi tu.
Post a Comment